Karne ya 17

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Karne ya 17 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 1601 hadi 1700. Kikamilifu kilianza tar. 1 Januari 1601 na kuishia 31 Desemba 1700. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".

Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu - hali halisi maendeleo na mabadiiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.

Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii.

Watu na matukio[hariri | hariri chanzo]

Karne: Karne ya 16 | Karne ya 17 | Karne ya 18
Miongo na miaka
Miaka ya 1600 | 1600 1601 1602 1603 1604 1605 1606 1607 1608 1609
Miaka ya 1610 | 1610 1611 1612 1613 1614 1615 1616 1617 1618 1619
Miaka ya 1620 | 1620 1621 1622 1623 1624 1625 1626 1627 1628 1629
Miaka ya 1630 | 1630 1631 1632 1633 1634 1635 1636 1637 1638 1639
Miaka ya 1640 | 1640 1641 1642 1643 1644 1645 1646 1647 1648 1649
Miaka ya 1650 | 1650 1651 1652 1653 1654 1655 1656 1657 1658 1659
Miaka ya 1660 | 1660 1661 1662 1663 1664 1665 1666 1667 1668 1669
Miaka ya 1670 | 1670 1671 1672 1673 1674 1675 1676 1677 1678 1679
Miaka ya 1680 | 1680 1681 1682 1683 1684 1685 1686 1687 1688 1689
Miaka ya 1690 | 1690 1691 1692 1693 1694 1695 1696 1697 1698 1699