1695
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 16 | Karne ya 17 | Karne ya 18 | ►
◄ | Miaka ya 1660 | Miaka ya 1670 | Miaka ya 1680 | Miaka ya 1690 | Miaka ya 1700 | Miaka ya 1710 | Miaka ya 1720 | ►
◄◄ | ◄ | 1691 | 1692 | 1693 | 1694 | 1695 | 1696 | 1697 | 1698 | 1699 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1695 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- Kuanzishwa kwa Ufalme wa Ashanti. Kufuatana na mapokeo ya Waashanti mfalme wa Kumasi (au:Kumasihene) Osei Kofi Tutu I alipokea "kikalio cha dhahabu" kama alama ya kuteuliwa na mbinguni lakini hali halisi kiti kilitengenezwa na kuhani Okomfo Anokye.
- 27 Januari: Mustafa II anachukua nafasi ya Sultani wa Dola la Uturuki badala ya Ahmad II aliyefariki
- 17 Julai: Benki ya Uskoti inaanzishwa kwa sheria ya bunge la Uskoti
- 31 Desemba: Kodi ya madirisha inazishwa Uingereza; wenye nyumba wengi wanafunga madirisha kwa matofari ili kuepukana na kodi hiyo.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1695 MDCXCV |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5455 – 5456 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1687 – 1688 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1144 ԹՎ ՌՃԽԴ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1107 – 1108 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1073 – 1074 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1750 – 1751 |
| - Shaka Samvat | 1617 – 1618 |
| - Kali Yuga | 4796 – 4797 |
| Kalenda ya Kichina | 4391 – 4392 甲戌 – 乙亥 |
Waliofariki [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: