1914
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1911 1912 1913 - 1914 - 1915 1916 1917 |
[hariri] Matukio
- 28. Juni: Kaisari-mteule Ferdinand wa Austria anauawa mjini Sarajevo.
- 28. Julai: Austria inatangaza hali ya vita dhidi ya Serbia.
- Agosti: vita ya Austria-Serbia inapanuka kuwa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia.
- 3 Septemba - Uchaguzi wa Papa Benedikto XV
- Oktoba: Milki ya Osmani inajiunga na vita upande wa Ujerumani.
[hariri] Waliozaliwa
- 5 Februari - Alan Hodgkin, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1963
- 22 Februari - Renato Dulbecco (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1975)
- 31 Machi - Octavio Paz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1990)
- 30 Aprili – Vermont Royster (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1953)
- 19 Mei - Max Perutz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1962)
- 17 Juni – John Hersey, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1945
- 28 Oktoba - R.L.M. Synge (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1952)
bila tarehe
- Tenzing Norgay, mpelelezi kutoka Nepal
[hariri] Waliofariki
- 16 Machi - Charles-Albert Gobat (mwanasiasa Mswisi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1902)
- 25 Machi - Frederic Mistral (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1904)
- 2 Aprili - Paul Heyse (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1910)
- 14 Juni - Adlai Stevenson, Kaimu Rais wa Marekani (1893-97)
- 21 Juni - Bertha von Suttner (mwandishi Mwaustria, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1905)
- 20 Agosti - Papa Pius X

