Harry Martinson
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Harry Edmund Martinson (6 Mei, 1904 – 11 Februari, 1978) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Sweden. Hasa aliandika riwaya na mashairi. Mwaka wa 1974, pamoja na Eyvind Johnson alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

