2008
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 2004 | 2005 | 2006 | 2007 | 2008 | 2009 | 2010 | 2011 | 2012 | ► | ►►
Jan. | Feb. | Mac. | Apr. | Mei | Jun. | Jul. | Ago. | Sep. | Okt. | Nov. | Des.
Mwaka wa 2008 umetangazwa kuwa Mwaka wa Lugha wa Kimataifa.
Matukio [hariri]
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 2008 MMVIII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5768 – 5769 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2000 – 2001 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1457 ԹՎ ՌՆԾԷ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1429 – 1430 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1386 – 1387 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2063 – 2064 |
| - Shaka Samvat | 1930 – 1931 |
| - Kali Yuga | 5109 – 5110 |
| Kalenda ya Kichina | 4704 – 4705 丁亥 – 戊子 |
Waliofariki [hariri]
- 11 Januari - Edmund Hillary, mpelelezi kutoka New Zealand na mtu wa kwanza kufika kileleni Mount Everest
- 27 Januari - Suharto, Rais wa pili wa Indonesia (1967-1998)
- 17 Aprili - Aime Cesaire (mwandishi kutoka Martinique)
- 15 Mei - Willis Lamb, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1955
- 26 Mei - Sydney Pollack, mwigizaji na mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 1 Juni - Yves Saint Laurent, msanii wa nguo kutoka Ufaransa
- 19 Juni - Noni Jabavu, mwandishi wa Afrika Kusini
- 23 Juni - Arthur Chung, Rais wa Guyana (1970-1980)
- 3 Julai - Levy Mwanawasa, Rais wa tatu wa Zambia (2001-2008)
- 27 Julai - Chacha Zakayo Wangwe, mwanasiasa wa Tanzania
- 3 Agosti - Aleksandr Solzhenitsyn (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1970)
- 26 Septemba - Paul Newman (mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani)
- 10 Novemba - Miriam Makeba, mwanamuziki kutoka Afrika Kusini
Wikimedia Commons ina media kuhusu: