Noni Jabavu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Helen Nontando "Noni" Jabavu (1919 - 19 Juni 2008) alikuwa mwandishi wa Afrika Kusini. Hasa aliandika wasifu na hadithi kwa lugha za Kiingereza na Kixhosa kuhusu maisha ya kila siku. Tangu umri wa miaka 13, aliishi Uingereza.

Yaliyomo

Maandishi yake [hariri]

  • Drawn in Colour (1960)
  • The Ochre People: Scenes from a South African life (1963)

Angalia pia [hariri]

Marejeo [hariri]

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1

Viungo vya nje [hariri]

People.svg Makala hii kuhusu mtu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Noni Jabavu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.