Indonesia
|
|||||
| Wito la taifa: Bhinneka Tunggal Ika (Kijava/Kikawi: Umoja katika tofauti) Itikadi: Pancasila |
|||||
| Wimbo wa taifa: Indonesia Raya | |||||
![]() |
|||||
| Mji mkuu | Jakarta |
||||
| Mji mkubwa nchini | Jakarta | ||||
| Lugha rasmi | Kiindonesia | ||||
| Serikali | Jamhuri Susilo Bambang Yudhoyono Jusuf Kalla |
||||
| Uhuru Kutangaza Kutambuliwa |
Kutoka Uholanzi 17 Agosti 1945 27 Desemba 1949 |
||||
| Eneo - Jumla - Maji (%) |
1,904,569 km² (16th) 4.85% |
||||
| Idadi ya watu - 2005 kadirio - 2000 sensa - Msongamano wa watu |
222,781,000 (4th) 206,264,595 116/km² (84th) |
||||
| Fedha | Rupiah (IDR) |
||||
| Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
various (UTC+7 to +9) not observed (UTC+7 to +9) |
||||
| Intaneti TLD | .id | ||||
| Kodi ya simu | +62 |
||||
| Alama ya kimataifa ya magari | {{{vehicle_code}}} |
||||
Indonesia ni nchi ya visiwa katika Asia ya Kusini-Mashariki. Iko upande wa Kusini-Mashariki kati ya Bahari ya Uhindi na Pasifiki. Ni sehemu ya funguvisiwa ya Malay.
Indonesia imepakana na Papua Guinea Mpya kwenye kisiwa cha Guinea Mpya pia na Timor ya Mashariki kwenye kisiwa cha Timor halafu na Malaysia kwenye kisiwa cha Borneo. Nchi zilizo karibu ni Australia, Singapore na Ufilipino.
Yaliyomo |
[hariri] Jiografia
Indonesia ni nchi ya visiwa 18,000 ilhali zaidi ya 6,000 kati ya hivi vinakaliwa na watu. Visiwa vikubwa vyenye wakazi wengi ni hasa vitano:
- Java
- Sumatra
- Kalimantan (Borneo ya Kiindonesia)
- Guinea Mpya (pamoja na nchi ya Papua Guinea Mpya)
- Sulawesi.
[hariri] Miji
[hariri] Wakazi, lugha, utamaduni
Nchi ina wakazi 238,452,952 (2004) hivyo ina nafasi ya nne kati ya mataifa makubwa duniani. Ni nchi penye Waislamu wengi duniani.
Lugha rasmi ni Bahasa Indonesia (Kiindonesia) iliyoundwa katika karne ya 20 kama lugha ya kitaifa kutokana na lahaja ya Kimalay.
Idadi kubwa ya wakazi (86 %) wanahesabiwa kuwa Waislamu, 11 % kama Wakristo, 2 % Wahindu na 1 % Wabuddha. Wahindu wako hasa kwenye kisiwa cha Bali.
[hariri] Historia
Visiwa vya Indonesia viliathiriwa na utamaduni wa Uhindi. Kisiasa palikwa na falme nyingi. Tangu karne ya 17 Waholanzi walianza kujenga vituo na kueneza utawala wao. Waliita koloni yao "Uhindi wa Kiholanzi" ("Nederlands-Indië").
Wakati wa vita kuu ya pili ya dunia Japani ikatwaa visiwa na kuwafukuza Waholanzi. Mwisho wa vita kiongozi Sukarno akatangaza Indonesia kama nchi huru. Waholanzi walijaribu kuruisha utawala wao lakini walilazimishwa na Marekani kukubali uhuru wa nchi.
[hariri] Album
- Indonesia
-
National Museum of Indonesia in Central Jakarta
-
Wisma 46, Indonesia's tallest office building, located in the middle of Jakarta skyscraper.
-
A train at Gambir station in Central Jakarta
-
The Bung Karno Stadium is capable of hosting 100,000 spectators
-
A selection of Indonesian food, including Soto Ayam (chicken soup), sate kerang (shellfish kebabs), telor pindang (preserved eggs), perkedel (fritter), and es teh manis (sweet iced tea)
-
Mazda6 used by the Jakarta Metro Highway Patrol (Ditlantas Polda Metro Jaya) as a patrol car
-
Mitsubishi Lancer used by Vital Object Protection of Indonesian National Police
[hariri] Tazama pia
[hariri] Viungo vya nje
- (Kiindonesia) (Kiingereza) Tovuti rasmi
| Nchi na maeneo ya Asia |
|
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
| 1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China. |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Indonesia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
