Sri Lanka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
இலங்கை சனநாயக சோசலிசக் குடியரசு, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijamaa ya Sri Lanka
Bendera ya Sri Lanka Nembo ya Sri Lanka
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa:
Wimbo wa taifa: Sri Lanka Matha (Sri Lanka Mama)
Lokeshen ya Sri Lanka
Mji mkuu Sri Jayawardenapura
6°54′ N 79°54′ E
Mji mkubwa nchini Colombo
Lugha rasmi Kisinhala, Kitamil
Serikali Jamhuri
Ranil Wickremesinghe
Dinesh Gunawardena
Uhuru
kutoka Uingereza
ilikubaliwa
4 Februari 1948
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
65,610 km² (ya 122)
4.4
Idadi ya watu
 - 2020 kadirio
 - 2012 sensa
 - Msongamano wa watu
 
22,156,000 (ya 57)
20,277,597
337.7/km² (ya 24)
Fedha Rupia ya Sri Lanka (LKR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+5:30)
(UTC)
Intaneti TLD .lk
Kodi ya simu +94

-


Ramani ya Sri Lanka.

Sri Lanka (pia Sirilanka, kwa Kisinhala Śrī Laṃkāva, kwa Kitamil Ilaṅkai; hadi mwaka 1972: Ceylon) ni nchi ya kisiwani katika Asia ya Kusini.

Iko karibu na ncha ya kusini ya rasi ya Uhindi katika Bahari Hindi.

Nchi imekaliwa na watu walau kuanzia miaka ya 125,000 KK na ilizidi kupata umuhimu kutokana na mahali ilipo.

Mji mkuu ni Sri Jayawardenapura.

Mikoa[hariri | hariri chanzo]

Sri Lanka ina mikoa 9:

Mikoa hiyo imegawanyika katika wilaya 25.

Hekalu la Kihindu mjini Colombo.

Watu[hariri | hariri chanzo]

Idadi ya wakazi ni takriban milioni 22 (2020).

Walio wengi (74.9%) ni Wasinhala ambao kwa kawaida ni wafuasi wa Ubuddha wa madhehebu ya Theravada (70.2%). Takriban 11.2% ni Watamili ambao wengi wao ni Wahindu (12.6%) na wanaishi hasa kaskazini mwa kisiwa.

Lugha zao, Kisnhala na Kitamil ni lugha rasmi. Pia Kiingereza kinatambulika.

Kuna Wamori Waislamu (9.7%, hasa Wasuni) ambao wengi wao wanajiona machotara wa Kiarabu.

Pia kuna Wakristo (7.4%, hasa Wakatoliki 5.8%, halafu Waanglikana na Waprotestanti wengine) ambao vilevile baadhi yao ni machotara wa Kizungu (hasa wa Kireno na wa Kiholanzi).

Karibu wananchi wote wanajali sana dini katika maisha yao.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Serikali
Taarifa za jumla
Historia
Ramani
Biashara
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sri Lanka kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.