Colombo
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Colombo | |
| Colombo | |
| Mahali pa mji wa Colombo katika Sri Lanka | |
| Anwani ya kijiografia: 6°56′04″N 79°50′34″E / 6.93444°N 79.84278°E | |
| Nchi | Sri Lanka |
|---|---|
| Mkoa | Sri Lanka Magharibi |
| Wilaya | Wilaya ya Colombo |
| Idadi ya wakazi (2001) | |
| - Mji | 647,100 |
| Tovuti: www.cmc.lk | |
Colombo ni mji mkubwa wa Sri Lanka mwenye wakazi 647,100 (2001).[1] Ilikuwa mji mkuu wa nchi hii tangu mwaka 1814 mpaka mwaka 1978.
Asili ya jina ni neno la Kisinhala "Kolamba" linalomaanisha bandari.
Marejeo [hariri]
Viungo vya nje [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Colombo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |