Colombo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Mji wa Colombo



Colombo
Colombo is located in Sri Lanka
Colombo
Colombo

Mahali pa mji wa Colombo katika Sri Lanka

Majiranukta: 6°56′04″N 79°50′34″E / 6.93444°N 79.84278°E / 6.93444; 79.84278
Nchi Sri Lanka
Mkoa Sri Lanka Magharibi
Wilaya Wilaya ya Colombo
Idadi ya wakazi (2001)
 - Wakazi kwa ujumla 647,100
Tovuti:  www.cmc.lk

Colombo ni mji mkubwa wa Sri Lanka wenye wakazi 647,100 (2001).[1] Ilikuwa mji mkuu wa nchi hii tangu mwaka 1814 mpaka mwaka 1978.

Asili ya jina ni neno la Kisinhala "Kolamba" linalomaanisha bandari.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Colombo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.