Kitamil

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Uenezaji wa wasemaji wa Kitamili
Mwandiko wa Kitamili kwenye ukurasa wa jani la mnazi

Kitamili ni lugha ya Uhindi inayojadiliwa hasa kwenye jimbo la Tamil Nadu pamoja na kaskazini ya Sri Lanka. Ni kati ya lugha kubwa za dunia yenye wasemaji zaidi ya milioni 70.

Kitamili huhesabiwa kati ya lugha za Kidravidi ambazo ni lugha asilia za Uhindi.

Kitamili imeandikwa tangu zaidi ya miaka 2000. Mfano ya kale ni ni mwandiko kwenye miamba ya mwaka 254 KK. Ni lugha ya pekee yenye umri mkubwa kama huu inayoendelea kutumiwa mfululizo hadi leo.


Viambishi ni mofimu au viungo vyenye maana ambavyo hufungamanishwa na mzizi/shina la neno ili kulipa neno hilo maana mbalimbali za kisarufi kama vile nafsi, wakati, hali, urejeshi, n.k Viambishi awali ni vile vinavyotangulia mzizi wenyewe, yaani huwa kabla ya mzizi/shina. SHINA AU MZIZI: Hakuna tofauti kati ya shina na mzizi MZIZI/SHINA, Ni sehemu ya neno inayobeba maana yake kuu na huwa haibadiliki, Kwa mfano, tuangalie vitenzi vifuatavyo: a-na-LIM-a wa-li-LIM-i-a ni-ta-LIM-iw-a wa-na-vyo-LIM-a Ukiangalia kwa makini, utaona kuna sehemu ya kitenzi hiki ambayo haibadiliki katika mifano ya hapo juu. Sehemu hiyo ni (-LIM-). Na hii ndiyo shina au mzizi wa kitenzi LIMA. Mfano mwingine: a-li-ki-SOM-a hu-SOM-ew-a wa-li-SOM-e-an-a a-li-m-SOM-e-a i-li-SOM-w-a Tunaona hapa mzizi/shina la kitenzi SOMA, ni -som- Ili utambue shina/mzizi wa kitenzi unafaa kuwazia hali mbalimbali au kauli tofautitofauti za mnyambuliko wa kitenzi halafu ubainishe sehemu isiyobadilika.