Palestina
|
|||||
| Wito la taifa: -- | |||||
| Wimbo wa taifa: Biladi | |||||
| Mji mkuu | Ramallah na Gaza hali halisi kama makao ya ofisi za serikali. Yerusalemu ya Mashariki ni mji mkuu wa Palestina unaotazamiwa. |
||||
| Mji mkubwa nchini | Gaza | ||||
| Lugha rasmi | Kiarabu | ||||
| Serikali | Mahmoud Abbas Ismail Haniya |
||||
| Katiba Uhuru ilitangazwa Hali |
15 Novemba 1988 Haitambuliwi |
||||
| Eneo - Jumla - Maji (%) |
6,220 km² (ya 169) 3.54 |
||||
| Idadi ya watu - 2005 kadirio - Msongamano wa watu |
3,702,212 (ya 128) 595/km² (ya 18) |
||||
| Fedha | Shekel ya Israel Dinari ya Yordania ( JOD, ILS) |
||||
| Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+2) (UTC+3) |
||||
| Intaneti TLD | .ps | ||||
| Kodi ya simu | +970b
- |
||||
| a West Bank pekee. b si rasmi. |
|||||
Palestina ni nchi mpya katika mwendo wa kuzaliwa lakini kwa sasa hakuna uhakika kama tendo litakamilika na lini. Kwa sasa kuna idadi ya maeneo yanayotawaliwa na Mamlaka ya Kitaifa ya Palestina.
Maeneo haya yametengwa kati yao na maeneo yanayosimamiwa na Israeli.
Maeneo haya yako kati ya mto Yordani na pwani ya Mediteranea: ni hasa Ukingo wa Magharibi wa Yordani na Ukanda wa Gaza.
Mamlaka ya Kitaifa ya Palestina ina kiwango fulani cha madaraka ya kiserikali katika baadhi ya maeneo haya.
Mamlaka hiyo hutambuliwa na nchi nyingi za Waarabu kama serikali halisi. Jumuia ya kimataifa kwa ujumla imetambua mamlaka kwa viwango mbalimbali lakini si kama serikali kamili ya nchi huru. Hivyo Mamlaka ina kiti cha mtazamaji kwenye Umoja wa Mataifa.
Maeneo ya Palestina yamepakana na Israel, Yordani na Misri. Kanda la Gaza lina pwani kwenye Mediteranea.
| Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Palestina kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
| Nchi na maeneo ya Asia |
|
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
| 1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China. |