Mji
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji ni mkusanyiko wa makazi ya watu, shule, hospitali, ofisi, maduka, viwanda n.k. ulio mkubwa kuliko ule wa kijiji. Mji ukizidi kukua unakuja kuitwa pia jiji.
Sura maalumu ya miji inategemea mambo mengi, kuanzia mazingira asili (kama yana milima, mabonde, mito, bandari n.k.).
Miji ya kwanza ilipatikana Mesopotamia, kama vile Uruk na Ur, ingawa kata ya miji inayodumu hadi leo ule wa kale zaidi labda ni Yeriko (Palestina).
Ukuaji wa madola ulifanya baadhi ya miji ipewe hadhi ya mji mkuu, kama vile Roma ambao wakati wa Yesu ulikuwa na wakazi zaidi ya nusu milioni.
Viungo vya nje [hariri]
- Miji mikubwa zaidi nchi kwa nchi
- Kwa kila nchi, asilimia ya watu wanaoishi katika mji wake mkubwa zaidi
- Dictionary of the History of ideas: The City
| Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mji kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |