Kinshasa
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Jiji la Kinshasa | |
| Nchi | Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |
|---|---|
Kinshasa ni mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo iliyoitwa kwa jina la "Leopoldville" hadi 1966. Iko kando la mto Kongo ikitazama mji wa Brazzaville uliyoko ng'ambo ya mto.
Idadi ya wakazi wake imekadiriwa kuwa 7,787,832 (mwaka 2005), pamoja na maeneo ya kando 9,122,077. Hivyo ni mji kmubwa wa tatu barani Afrika baada ya Lagos, Nigeria na Kairo, Misri.
Mji uliundwa mwaka 1881 na Henry Morton Stanley.
|
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||
| Source: Populstat, World Gazetteer | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||
| Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kinshasa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |