Chacha Zakayo Wangwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Chacha Zakayo Wangwe (amezaliwa tar. 15 Julai 1956 - 27 Julai 2008) alikuwa mbunge wa jimbo la Tarime katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CHADEMA.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Chacha Zakayo Wangwe". 13 Agosti 2008. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-27. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.