2004
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 2000 | 2001 | 2002 | 2003 | 2004 | 2005 | 2006 | 2007 | 2008 | ► | ►►
Jan. | Feb. | Mac. | Apr. | Mei | Jun. | Jul. | Ago. | Sep. | Okt. | Nov. | Des.
Makala hii inahusu mwaka 2004 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 2004 MMIV |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5764 – 5765 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1996 – 1997 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1453 ԹՎ ՌՆԾԳ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1425 – 1426 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1382 – 1383 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2059 – 2060 |
| - Shaka Samvat | 1926 – 1927 |
| - Kali Yuga | 5105 – 5106 |
| Kalenda ya Kichina | 4700 – 4701 癸未 – 甲申 |
Waliofariki [hariri]
- 13 Januari - Harold Shipman, daktari na muuaji mfululizo kutoka Uingereza, alijiua gerezani
- 15 Machi - John Pople, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1998
- 5 Juni - Ronald Reagan, Rais wa Marekani (1981-89)
- 1 Julai - Marlon Brando, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 28 Julai - Francis Crick, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1962
- 12 Agosti - Godfrey Hounsfield, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1979
- 14 Agosti - Czeslaw Milosz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1980)
- 15 Agosti - Sune Bergström, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1982
- 5 Oktoba - Maurice Wilkins, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1962
- 19 Novemba - John Vane, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1982
- 19 Desemba - Herbert Brown, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1979
- 29 Desemba - Julius Axelrod, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1970
Wikimedia Commons ina media kuhusu: