1931
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1928 1929 1930 - 1931 - 1932 1933 1934 |
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
- 18 Februari - Toni Morrison (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1993)
- 22 Machi - Burton Richter (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1976)
- 31 Mei - Robert Schrieffer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1972)
- 19 Agosti - Marianne Koch, mwigizaji wa filamu kutoka Ujerumani
- 23 Agosti - Hamilton Smith, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1978
- 29 Septemba - James Cronin (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1980)
- 7 Oktoba - Askofu Desmond Tutu
- 4 Novemba - Cleopa David Msuya, Waziri Mkuu wa Tanzania
- 15 Novemba - Mwai Kibaki, Rais wa tatu wa Kenya
- 25 Desemba - Raphael S. Ndingi Mwana a'Nzeki aliyekuwa askofu mkuu wa Nairobi wa kanisa katoliki
[hariri] Waliofariki
- 7 Januari – Edward Channing (mwanahistoria wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1926)
- 26 Februari - Otto Wallach (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1910)
- 8 Aprili - Erik Axel Karlfeldt (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1931)
- 9 Mei - Albert Abraham Michelson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1907)
- 12 Julai - Nathan Söderblom (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1930)

