7 Januari
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Des - Januari - Feb | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
- 1566 - Uchaguzi wa Papa Pius V
Waliozaliwa [hariri]
- 1502 - Papa Gregori XIII aliyekuwa papa kati ya 1572 na 1585 († 1585) aliyeanzisha Kalenda ya Gregori
- 1800 - Millard Fillmore, Rais wa Marekani (1850-1853)
- 1916 - Fernando Sancho, mwigizaji filamu kutoka Hispania
- 1941 - John Walker, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1997
- 1945 - Raila Odinga, mwanasiasa wa Kenya
- 1948 - Ichiro Mizuki, mwanamuziki kutoka Japani
Waliofariki [hariri]
- 1655 - Papa Innocent X
- 1920 - Edmund Barton, Waziri Mkuu wa kwanza wa Australia
- 1931 - Edward Channing, mwanahistoria kutoka Marekani
- 1984 - Alfred Kastler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1966)
- 1989 - Hirohito, Mfalme Mkuu wa Japani
- 1998 - Vladimir Prelog, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1975