Papa Innocent X
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Innocent X (6 Mei 1574 – 7 Januari 1655) alikuwa papa kuanzia 15 Septemba 1644 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Battista Pamphilj. Alimfuata Papa Urban VIII akafuatwa na Papa Alexander VII.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Innocent X katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Innocent X kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |