Papa Pius VI
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pius VI (27 Desemba 1717 – 29 Agosti 1799) alikuwa papa kuanzia 15 Februari 1775 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Angelo Braschi. Alimfuata Papa Klemens XIV akafuatwa na Papa Pius VII.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Pius VI katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Pius VI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |