Papa Benedikto I

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Benedikto I.

Papa Benedikto I (jina la awali: Benedikto Bonosio) alikuwa Papa kuanzia tarehe 2 Juni 575 hadi kifo chake tarehe 30 Julai 579[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Alimfuata Papa Yohane III akafuatwa na Papa Pelagio II.

Ndiye aliyemtoa monasterini na kumfanya shemasi yule atakayekuwa Papa Gregori I.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.