Papa Benedikto I

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Benedikto I alikuwa papa kuanzia 2 Juni, 575 hadi kifo chake tarehe 30 Julai, 579. Alimfuata Papa Yohane III.

[hariri] Viungo vya nje

Kuhusu Papa Benedikto I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

Pope.svg Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.