Papa Pius VII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pius VII (14 Agosti 1740 – 20 Agosti 1823) alikuwa papa kuanzia 14 Machi 1800 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Barnaba Niccolò Maria Luigi Chiaramonti. Alimfuata Papa Pius VI akafuatwa na Papa Leo XII.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Pius VII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Pius VII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |