Papa Klementi II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi II (1005 – 9 Oktoba, 1047) alikuwa papa kuanzia 25 Desemba, 1046 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Suidger wa Morsleben. Alimfuata Papa Gregori VI.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Klementi II katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |