Papa Yohane I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Yohane I alikuwa papa kuanzia 13 Agosti 523 hadi kifo chake tarehe 18 Mei 526. Alimfuata Papa Hormisdas akafuatwa na Papa Felix IV.
Anaheshimiwa kama mtakatifu. Sikukuu yake ni tarehe 18 Mei.
Viungo vya nje [hariri]
- Kuhusu Papa Yohane I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
- Patron Saints Index:
- Fontes Latinae de papis usque ad annum 530 (Papa Felix IV)
- Liber pontificalis
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |