Papa Honorius IV

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Honori IV)
Papa Honori IV.

Papa Honorius IV (takriban 12103 Aprili 1287) alikuwa Papa kuanzia tarehe 2 Aprili/20 Mei 1285 hadi kifo chake[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giacomo Savelli.

Alimfuata Papa Martino IV akafuatwa na Papa Nikolasi IV.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Honorius IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.