Papa Nikolasi I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Nikolasi I au Nikolasi Mkuu (takriban 820 – 13 Novemba 867) alikuwa papa kuanzia 24 Aprili 858 hadi kifo chake.
Alimfuata Papa Benedikto III akafuatwa na Papa Adrian II.
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Sikukuu yake ni tarehe 13 Novemba.
Maandishi [hariri]
Opera Omnia by Migne Patrologia Latina with analytical indexes
Viungo vya nje [hariri]
Papa Nikolasi I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Nikolasi I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
