Papa Gregori XV
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori XV (9 Januari, 1554 – 8 Julai, 1623) alikuwa papa kuanzia 9 Februari, 1621 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Alessandro Ludovisi. Alimfuata Papa Paulo V.
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori XV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |