Papa Klementi IX

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi IX.

Papa Klementi IX (28 Januari 16009 Desemba 1669) alikuwa Papa kuanzia tarehe 20/26 Juni 1667 hadi kifo chake[1]. Alitokea Pistoia, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giulio Rospigliosi.

Alimfuata Papa Aleksanda VII akafuatwa na Papa Klementi X.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi IX kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.