Papa Klementi IX
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi IX (28 Januari, 1600 – 9 Desemba, 1669) alikuwa papa kuanzia 20 Juni, 1667 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giulio Rospigliosi. Alimfuata Papa Alexander VII.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Klementi IX katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi IX kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |