Papa Benedikto XII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Benedikt XII (takriban miaka ya 1280 – 25 Aprili, 1342) alikuwa papa kuanzia 20 Desemba, 1334 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Jacques Fournier. Alimfuata Papa Yohane XXII.
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto XII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
