Papa Benedikto XII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Benedikt XII (takriban miaka ya 1280 – 25 Aprili 1342) alikuwa papa kuanzia 20 Desemba 1334 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Jacques Fournier.
Alimfuata Papa Yohane XXII akafuatwa na Papa Klementi VI.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Benedikt XII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto XII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
