Papa Benedikto XI
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Benedikt XI (1240 – 7 Julai, 1304) alikuwa papa kuanzia 22 Oktoba, 1303 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Nicholas Boccasini. Alimfuata Papa Boniface VIII.
[hariri] Viungo vya nje
Kuhusu Papa Benedikto XI katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto XI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |