Papa Stefano II

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Stefano II akipokea zawadi ya Pipino Mfupi.

Papa Stefano II alikuwa Papa kuanzia tarehe 26 Machi 752 hadi kifo chake tarehe 26 Aprili 757[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2] katika familia Orsini[3][4].

Alimfuata Papa Zakaria akafuatwa na Papa Paulo I.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  3. Norwich, J. J. "The Popes: A History", p. 756. 2011
  4. George L. Williams, Papal Genealogy, (McFarland & Company, 2004), 215.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Stefano II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.