Papa Nikolasi II

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Nikolasi II alikuwa papa kuanzia 24 Januari, 1059 hadi kifo chake tarehe 19 au 27 Julai, 1061. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Gérard de Bourgogne. Alimfuata Papa Stefano IX.

Pope.svg Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Nikolasi II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.