Papa Boniface IV

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Bonifasi IV)
Papa Bonifasi IV.

Papa Boniface IV, O.S.B. (takriban 5508 Mei 615) alikuwa Papa kuanzia tarehe 25 Agosti 608 hadi kifo chake[1]. Alitokea mkoa wa Abruzzi, Italia[2][3]. Baba yake alikuwa tabibu, jina lake Yohane.

Alimfuata Papa Bonifasi III akafuatwa na Papa Adeodato I.

Chini ya Papa Gregori I alikuwa shemasi mkuu[4].

Alistawisha umonaki na kugeuza Pantheon, hekalu la miungu yote mjini Roma, kuwa kanisa kwa heshima ya Bikira Maria na wafiadini wote[5].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Mei[6].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  3. Andrew J. Ekonomou. Byzantine Rome and the Greek Popes. Lexington books, 2007
  4.  Oestereich, Thomas (1907). "Pope St. Boniface IV". In Herbermann, Charles. Catholic Encyclopedia. 2. Robert Appleton Company.
  5. MacDonald, William L. (1976). The Pantheon: Design, Meaning, and Progeny. Cambridge, MA: Harvard University Press. ISBN|0-674-01019-1
  6. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Boniface IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.