Papa Pius I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pius I alikuwa papa kuanzia takriban 140 hadi kifo chake takriban 154. Alimfuata Papa Hyginus akafuatwa na Papa Anicetus.
Anaheshimiwa kama mtakatifu. Sikukuu yake ni tarehe 11 Julai.
Marejeo [hariri]
This article incorporates text from a publication now in the public domain: Herbermann, Charles, ed (1913). "Pope St. Pius I". Catholic Encyclopedia. Robert Appleton Company.- "Lives of the Saints, For Every Day of the Year," edited by Rev. Hugo Hoever, S.O.Cist., Ph.D., New York: Catholic Book Publishing Co., 1955, pp 511
Viungo vya nje [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Pius I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
