Papa Pius I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pius I alikuwa papa kuanzia takriban 140 hadi kifo chake takriban 154. Alimfuata Papa Hyginus. Sikukuu yake ni 11 Julai.
[hariri] Viungo vya nje
Kuhusu Papa Pius I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Pius I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
