Papa Pius I

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Pius I

Papa Pius I alikuwa papa kuanzia takriban 140 hadi kifo chake takriban 154. Alimfuata Papa Hyginus. Sikukuu yake ni 11 Julai.

[hariri] Viungo vya nje

Kuhusu Papa Pius I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

Pope.svg Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Pius I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.