Papa Benedikto VII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha:BenedettoVII.jpg
Papa Benedikto VII
Papa Benedikto VII alikuwa papa kuanzia mwaka wa 974 hadi kifo chake mwaka wa 983. Jina lake la kuzaliwa halijulikani.
Alimfuata Papa Benedikto VI akafuatwa na Papa Yohane XIV.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Benedikto VII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto VII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |