Papa Benedikto VII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Benedikto VII.

Papa Benedikto VII alikuwa Papa kuanzia Oktoba 974 hadi kifo chake tarehe 10 Julai 983[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa halijulikani.

Alimfuata Papa Benedikto VI akafuatwa na Papa Yohane XIV.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto VII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.