Papa Klementi VI

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Papa Klementi VI

Papa Klementi VI (takriban 12916 Desemba, 1352) alikuwa papa kuanzia 7 Mei, 1342 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Pierre Roger. Alimfuata Papa Benedikt XII akiwa papa wa nne aliyetawala kutoka mji wa Avignon.

[hariri] Viungo vya nje

Papa Klementi VI katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

Pope.svg Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi VI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine