Papa Innocent VI
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Innocent VI (1282 au 1295 – 12 Septemba, 1362) alikuwa papa kuanzia 18 Desemba, 1352 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Étienne Aubert. Alimfuata Papa Klementi VI.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Innocent VI katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Innocent VI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
