Papa Yohane XXII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Yohane XXII (takriban 1249 – 4 Desemba 1334) alikuwa papa kuanzia mwaka wa 1316 hadi kifo chake. Alichaguliwa tarehe 7 Agosti 1316, na kuvishwa taji tarehe 5 Septemba mwaka uleule katika mji wa Lyon.
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Jacques Duèze (au d'Euse). Alimfuata Papa Klementi V akafuatwa na Papa Benedikto XII.
Viungo vya nje [hariri]
Kuhusu Papa Yohane XXII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane XXII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
