Papa Klementi XII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi XII (7 Aprili, 1652 – 6 Februari, 1740) alikuwa papa kuanzia 12 Julai, 1730 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Lorenzo Corsini. Alimfuata Papa Benedikt XIII.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Klementi XII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi XII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |