Papa Leo X

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Papa Leo X

Papa Leo X (11 Desemba, 14751 Desemba, 1521) alikuwa papa kuanzia 9 Machi, 1513 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni di Lorenzo de' Medici. Alimfuata Papa Julius II. Leo X alimtenga Martin Luther na kanisa tarehe 3 Januari, 1521.

[hariri] Viungo vya nje

Papa Leo X katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

Pope.svg Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Leo X kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine