Papa Leo X

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Leo X
Papa Leo X

Papa Leo X (11 Desemba, 14751 Desemba, 1521) alikuwa papa kuanzia 9 Machi, 1513 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni di Lorenzo de' Medici. Alimfuata Papa Julius II. Leo X alimtenga Martin Luther na kanisa tarehe 3 Januari, 1521.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Papa Leo X" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Papa Leo X kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi