Papa Leo X
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Leo X (11 Desemba, 1475 – 1 Desemba, 1521) alikuwa papa kuanzia 9 Machi, 1513 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni di Lorenzo de' Medici. Alimfuata Papa Julius II. Leo X alimtenga Martin Luther na kanisa tarehe 3 Januari, 1521.

