Papa Leo X
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Leo X (11 Desemba 1475 – 1 Desemba 1521) alikuwa papa kuanzia 9 Machi 1513 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni di Lorenzo de' Medici. Alimfuata Papa Julius II akafuatwa na Papa Adrian VI. Leo X alimtenga Martin Luther na kanisa tarehe 3 Januari 1521.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Leo X katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Leo X kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |