Papa Klementi VIII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi VIII (24 Februari, 1536 – 3 Machi, 1605) alikuwa papa kuanzia 30 Januari, 1592 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Ippolito Aldobrandini. Alimfuata Papa Innocent IX.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Klementi VIII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi VIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |