Papa Benedikto V

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Benedikto V alikuwa papa kuanzia 22 Mei hadi 23 Juni, 964. Jina lake la kuzaliwa halijulikani. Alimfuata Papa Yohane XII. Alilazimishwa kujiuzulu na Mfalme Mkuu Otto I wa Ujerumani aliyemtuma kwenda mji wa Hamburg alipofariki tarehe 4 Julai, 966.

Pope.svg Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.