4 Julai
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Jun - Julai - Ago | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
[hariri] Matukio
- 1415 - Papa Gregori XII anajiuzulu ili kukomesha farakano la kanisa.
- 1776 - Marekani inatangaza uhuru wake kutoka Uingereza
[hariri] Waliozaliwa
- 1872 - Calvin Coolidge, Rais wa Marekani (1923-1929)
[hariri] Waliofariki
- 966 - Papa Benedikto V
- 1826 - John Adams, Rais wa Marekani (1797-1801)
- 1826 - Thomas Jefferson, Rais wa Marekani (1801-1809)
- 1831 - James Monroe, Rais wa Marekani (1817-1825)
- 1891 - Hannibal Hamlin, Kaimu Rais wa Marekani (1861-1865)
- 2001 - Omar Ali Juma, mwanasiasa kutoka Zanzibar

