Papa Stefano VII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Stefano VII alikuwa papa kuanzia mwezi wa Desemba 928 hadi kifo chake mwezi wa Februari 931. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Stefano de Gabrielli.
Alimfuata Papa Leo VI akafuatwa na Papa Yohane XI.
Stefano VII alikuwa papa wakati Papa Yohane X bado alikuwa hai kifungoni.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Stefano VII katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Stefano VII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
