Papa Adeodato I
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Adeodato I (pia aliitwa Deusdedit) alikuwa papa kuanzia 13 Novemba 615 hadi kifo chake tarehe 8 Novemba 618. Jina la baba yake lilikuwa Stephanus.
Alimfuata Papa Boniface IV akafuatwa na Papa Boniface V.
Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Viungo vya nje[hariri]
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Adeodato I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
