17 Januari
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Des - Januari - Feb | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
Waliozaliwa [hariri]
- 1504 - Papa Pius V
- 1962 - Jim Carrey, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1964 - Michelle Obama, Mwanamke wa Kwanza wa Marekani tangu 2009
Waliofariki [hariri]
- 395 - Theodosius Mkuu, Kaisari wa Dola la Roma
- 1893 - Rutherford B. Hayes, Rais wa Marekani (1877-1881)
- 1961 - Patrice Lumumba, Waziri Mkuu wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
- 2002 - Camilo Jose Cela (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1989)
- 2007 - Alice Lakwena wa Uganda