1966
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1963 1964 1965 - 1966 - 1967 1968 1969 |
[hariri] Matukio
- 30 Septemba - Nchi ya Botswana inapata uhuru kutoka Uingereza.
- 4 Oktoba - Nchi ya Lesoto inapata uhuru kutoka Uingereza.
[hariri] Waliozaliwa
- 7 Agosti - Jimmy Wales, mwanzilishi wa wikipedia
[hariri] Waliofariki
- 10 Machi - Frits Zernike (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1953)
- 5 Julai - Georg von Hevesy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1943)
- 2 Novemba - Peter Debye (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1936)
- 15 Desemba - Walt Disney, mwongozaji filamu na mwanakatuni kutoka Marekani

