21 Januari
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Des - Januari - Feb | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Tarehe 21 Januari ni sikukuu ya Agnes Mtakatifu.
Matukio [hariri]
- 1276 - Uchaguzi wa Papa Innocent V
Waliozaliwa [hariri]
- 1821 - John Breckinridge, Kaimu Rais wa Marekani (1857-1861)
- 1912 - Konrad Bloch, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1964
- 1960 - Job Yustino Ndugai, mwanasiasa wa Tanzania
Waliofariki [hariri]
- 1118 - Papa Paskali II
- 1924 - Vladimir Lenin, kiongozi wa Umoja wa Kisovyeti
- 1926 - Camillo Golgi (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1906)
- 1950 - George Orwell