Mwanzilishi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mwanzilishi ni jina linalotumika kwa mtu aliyeanzisha muundo au jambo fulani.

Katika historia ya utawa linamaanisha hasa mwanamume au mwanamke aliyejaliwa karama ya pekee iliyovuta watu wengine hata likatokea shirika.