1821
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1790 | Miaka ya 1800 | Miaka ya 1810 | Miaka ya 1820 | Miaka ya 1830 | Miaka ya 1840 | Miaka ya 1850 | ►
◄◄ | ◄ | 1817 | 1818 | 1819 | 1820 | 1821 | 1822 | 1823 | 1824 | 1825 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1821 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 15 Septemba - Nchi ya El Salvador inapata uhuru kutoka kwa Wahispania.
- 27 Septemba - Hispania inatambua uhuru wa Mexiko katika mkataba wa Cordoba
- 28 Novemba - Nchi ya Panama inapata uhuru kutoka Hispania ikawa sehemu ya nchi Kolombia chini ya Simon Bolivar.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1821 MDCCCXXI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5581 – 5582 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1813 – 1814 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1270 ԹՎ ՌՄՀ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1236 – 1238 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1199 – 1200 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1876 – 1877 |
| - Shaka Samvat | 1743 – 1744 |
| - Kali Yuga | 4922 – 4923 |
| Kalenda ya Kichina | 4517 – 4518 庚辰 – 辛巳 |
- 21 Januari - John Breckinridge, Kaimu Rais wa Marekani (1857-1861)
- 11 Novemba - Fyodor Dostoyevski, mwandishi Mrusi
Waliofariki [hariri]
- 4 Januari - Elizabeth Ann Seton, mtakatifu na mwanzilishi wa shirika la kwanza la kitawa huko Marekani
- 5 Mei - Napoleon Bonaparte, Mfalme wa Ufaransa
- 3 Juni - Egwale Seyon, Mfalme Mkuu wa Uhabeshi
Wikimedia Commons ina media kuhusu: