1926
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | ►
◄◄ | ◄ | 1922 | 1923 | 1924 | 1925 | 1926 | 1927 | 1928 | 1929 | 1930 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1926 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 6 Agosti - Gertrude Ederle ni mwanamke wa kwanza kuvuka mlangobahari kati ya Uingereza na Ufaransa kwa kuogelea.
- 15 Novemba - Kuanzishwa kwa Jumuiya ya Kibritania katika Azimio la Balfour (kwa Kiingereza Balfour Declaration of 1926), mtangulizi wa Jumuiya ya Madola kama ushirikiano wa Uingereza na koloni zake za zamani.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1926 MCMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5686 – 5687 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1918 – 1919 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1375 ԹՎ ՌՅՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1345 – 1346 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1304 – 1305 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1981 – 1982 |
| - Shaka Samvat | 1848 – 1849 |
| - Kali Yuga | 5027 – 5028 |
| Kalenda ya Kichina | 4622 – 4623 乙丑 – 丙寅 |
- 29 Januari - Abdus Salam (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1979)
- 27 Februari - David Hubel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1981
- 24 Machi - Dario Fo (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1997)
- 21 Aprili - Elizabeth II, Malkia wa Uingereza
- 25 Mei - Miles Davis, mwanamuziki kutoka Marekani
- 27 Mei - Rashidi Kawawa (mwanasiasa kutoka Tanzania)
- 1 Juni - Marilyn Monroe, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 19 Juni - Antoni Gaudi, msanifu majengo wa Hispania
- 30 Juni - Paul Berg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1980
- 9 Julai - Ben Mottelson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1975)
- 16 Julai - Irwin Rose, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2004
- 11 Agosti - Aaron Klug, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1982
- 13 Agosti - Fidel Castro, Rais wa Kuba
- 21 Septemba - Donald A. Glaser (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1960)
- 18 Oktoba - Klaus Kinski, mwigizaji filamu kutoka Ujerumani
- 25 Novemba - Tsung-Dao Lee (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1957)
- 30 Novemba - Andrew Schally (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1977)
- 9 Desemba - Henry Kendall (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1990)
bila tarehe
- Bibi Titi Mohammed, mwanasiasa wa Tanzania
- Sydney Clouts, mwandishi wa Afrika Kusini
Waliofariki [hariri]
- 21 Januari - Camillo Golgi (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1906)
- 21 Februari - Heike Kamerlingh Onnes (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1913)
- 14 Septemba - Rudolf Christoph Eucken (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1908)
- 25 Desemba - Yoshihito, Mfalme Mkuu wa Japani
Wikimedia Commons ina media kuhusu: